Ref: Nyumba inahitaji maeneno ya Uwanja wa Taifa na Viunga vyake!

Ref: Nyumba inahitaji maeneno ya Uwanja wa Taifa na Viunga vyake!

safariwafungo

Senior Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
116
Reaction score
51
Heshima iwe juu yenu wakubwa.
Nyumba ya kupanga inahitajika maeneo ya Uwanja wa Taifa ama maeneo yazungukayo eneo hili. Nyumba iwe ya vyumba viwili (bed rooms), sitting room, jiko, na choo.

Please ni PM!

nawasilisha
 
Unapenda mpira kiasi hicho mpaka makazi unataka yawe karibu na Uwanja wa Taifa? Omba chumba kwenye stadium kabisa.
 
Unapenda mpira kiasi hicho mpaka makazi unataka yawe karibu na Uwanja wa Taifa? Omba chumba kwenye stadium kabisa.

Duh!!!
Serikali inaweza kubuni chanzo kingine cha mapato kwa kujenga nyumba ndogo pembeni ya huu uwanja kwa wapenzi wa mpira kama hawa!!
 
Heshima iwe juu yenu wakubwa.
Nyumba ya kupanga inahitajika maeneo ya Uwanja wa Taifa ama maeneo yazungukayo eneo hili. Nyumba iwe ya vyumba viwili (bed rooms), sitting room, jiko, na choo.

Please ni PM!


nawasilisha
Mimi nina nyumba nimemaliza kuezeka majuzi ila bado sijaweka milango na madirisha. Niko maeneo ya changombe karibu na maduka mawili au karibu na ukumbi wa sigara TCC
Nyumba ina vyumba 4 ila viwili vimeisha booliwa tayri
 
Mimi nina nyumba nimemaliza kuezeka majuzi ila bado sijaweka milango na madirisha. Niko maeneo ya changombe karibu na maduka mawili au karibu na ukumbi wa sigara TCC
Nyumba ina vyumba 4 ila viwili vimeisha booliwa tayri

mzee hiyo inahusika naomba uni PM namna ya kukupata ili nikutafute Juma pili ya weekend ijayo ili tufanye biashara!
 
Back
Top Bottom