Nahitaji laptop au min laptop

Nahitaji laptop au min laptop

Jeff

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2009
Posts
1,293
Reaction score
202
Iwe na 2GB ram,120GB HDD au zaidi,2Ghz,dvd rw,wifi,charge ikae masaa 3 au zaidi,kama ni mini bas iwe na 320GB HDD au zaidi,nina 350,000/= niPM kama unayo
 
Iwe na 2GB ram,120GB HDD au zaidi,2Ghz,dvd rw,wifi,charge ikae masaa 3 au zaidi,kama ni mini bas iwe na 320GB HDD au zaidi,nina 350,000/= niPM kama unayo

Kwa specification unazotaka na budget yako we mkali sana. Ukiwa umeongeza hiyo budget nicheki
 
Niongeze ngapi mkuu?
 
Au we unayo ipi mkuu?
 
Kweli kwa hiyo bei labda nikiuuzie dektop pentium 1 niliyoitumia wakati naanza chuo
 
Iwe na 2GB ram,120GB HDD au zaidi,2Ghz,dvd rw,wifi,charge ikae masaa 3 au zaidi,kama ni mini bas iwe na 320GB HDD au zaidi,nina 350,000/= niPM kama unayo

TZS 350,000 NI SAWA NA DOLA 205.NetBook yenye 250GB HDD NA 1GB RAM INAUZWA DOLA 250-300. SO BUDGET YAKO NI NDOGO SANA NA HIYO NI BEI YA STOO MARERKANI. HADI IFIKE HAPA BONGO NI NI DOLA 300-350. KAMA UNAWEZA KUJIVUTA HADI DOLA 450 NITAKUPATIA MASHINE NZURI UT INABIDI KUSUBIRI KWA MUDA WA WIKI 3-4
 
TZS 350,000 NI SAWA NA DOLA 205.NetBook yenye 250GB HDD NA 1GB RAM INAUZWA DOLA 250-300. SO BUDGET YAKO NI NDOGO SANA NA HIYO NI BEI YA STOO MARERKANI. HADI IFIKE HAPA BONGO NI NI DOLA 300-350. KAMA UNAWEZA KUJIVUTA HADI DOLA 450 NITAKUPATIA MASHINE NZURI UT INABIDI KUSUBIRI KWA MUDA WA WIKI 3-4

mpya au used? Na ni mini au?
 
Mi ninayo mini ya kichina used. haina jina kwa sasa. 160gb, 1gb ram, webcam.. Unataka?
 
Back
Top Bottom