Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naomba ushauri,nataka kuweka tangazo na picha kwenye Jf. Nimeona ndovu wameweka lao na mimi ningependa niweke jirani na Ndovu. maana ukisha pata moja ya baridi unakuwa na hamu ya kiti moto. Je...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
htc g1 going for 200,000/- ... used bt in mint condition # ts urgent, no discount as well.. pm me if interested
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kama kuna mwenye bberry bold ambayo iko kwenye hali nzuri na price not more than 200000 naomba ani pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Am looking for Blackberry 9000 or iPhone 3g Or any other phone with OS (operating system) My budget- 150,000/-Tshs IF any major au minor problem, will buy maybe but plz mention !
0 Reactions
8 Replies
1K Views
nauza mashamba kigamboni eneo la mkokozi/lugwadu napima kuazia nusu eka 5mil. Halina hati miliki zaidi ya barua ya serikali ya kijiji na risiti. Lipo km 20 kutoka ferry, umeme haujafika , barabara...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nahitaji HP Pavilion dv7 6089eo. Ina specifications zifuatazo: HDD: 500GB RAM: 4GB Processor: Quadri Core... Size: 17.3" HD screen. Pia ina fingerprint reader. Alternativelly, Toshiba yenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninatoa huduma ya kurudisha data (data recovery) kwa hakika, haijarishi ni siku ngapi zimepita na wala kwamba kuna waliotangulia walijaribu wakashindwa. Software zangu niza viwango katika ubora...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Blackberry Torch 9860 mpya kabisa inauzwa... Bei 650,000/= Nicheki kwa 0655003510
0 Reactions
11 Replies
2K Views
kuna rafiki yangu mmoja anatafuta chumba kikubwa na kizuri cha kupanga maeneo ya Ngarenaro, Kaloleni, ILBORU na maeneo ambayo yapo mjini. Chumba hicho kiwe self contained. Kwa yeyote mwenye...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nyumba inapangishwa kwenye shared compound. Ipo ndani ya fensi. Ni nyumba yenye vyumba viwili vya kulala na kimoja ni master. Ina sitting room pamoja na jiko. Kuna sehemu ya kupaki gari. Ipo mbezi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za leo wanajamii. Natafuta nyumba ya kupanga mwezi mmoja wakati namalizia mjengo wangu. nyumba iwe ya vyumba viwili au vitatu. Mimi niko Dar es salaam.
0 Reactions
0 Replies
981 Views
Kiwanja kina hati kimepimwa, eneo zuri, nyumba imezungushiwa fensi ya matofari, ina master b/room, vyumba 3 vya kulala, s/room, d/room, Jiko, mabanda ya uwani, Gereji, na maegesho ya gari. Maji ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii forums, najitolea kufanya kazi ya website designing... yeyote mwenye kazi ya kudesign website anaweza kunicheki kwa PM kisha nikasaidiana nae kufanya hiyo kazi bila malipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta iphone 4/4S kwa bei poa, nipo dar es salaam, pm me plz.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
phone is on goof condition 32 GB internal Memory Bei 270,000
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mwenye huo mzgo ani pm pamoja na bei
0 Reactions
1 Replies
828 Views
WE OFFER FINANCIAL AND BUSINESS SERVICES WHEREVER YOU , OUR PERSONELL WILL VISIT YOU. eg preparation of busness plan/propasal, internal auditing, preparation of financial report, practical...
0 Reactions
0 Replies
942 Views
wakuu inahitajika rav4 milango mitatu kwa m5.... iwe na hali nzuri..... aliyenayo naomba aniPM
0 Reactions
0 Replies
902 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…