NAOMBA MSAADA: Naomba maelezo kwa nayefahamu makampuni rasmi ya kukodisha magari Dar es Salaam, gharama na bei zake kwa siku zikoje? na dereva au bila dereva na masharti yao yakoje pamoja na vinavyohitajika. natanguliza shukurani za dhati. IDUMU JF
mkuu ulikua unataka kukodisha magar ya aina gani?manake tours nyingi hawanaga magari,huwa wanachukua kazi then wanakodisha magari ya mtu wanapiga cha juu!yaliyopo bei zake ni ghali sana!au unaweza kuwasiliana na travellers agents like antelope tours,huwa wanatoa hiyo huduma pia!ila kama unataka kubana matumiz ni bora utafute mtu mwenye gar lake na dereva au bila dereva mkamalizana kuliko kuchukua haya makampuni.