Maulid jnr
Member
- Mar 25, 2021
- 66
- 60
habari wana jf . nauza kiwanja changu kinachopatikana mbezi mji mpya karibu na stendi ya magufuli terminal. kiwanja kina ukubwa wa futi 60x50 average sio square.
Bei ni 15,000,000 maongezi yapo.
kipo sehemu tambarare pamejengeka pande zote umeme na maji vipo site. kiwanja kimeendelezwa tayari kuna nyumba ya mlinzi na banda la kuku. Mkataba wa mauziano wa kiwanja upo.
ukihitaji nicheki kwenye namba hii 0783150130
Bei ni 15,000,000 maongezi yapo.
kipo sehemu tambarare pamejengeka pande zote umeme na maji vipo site. kiwanja kimeendelezwa tayari kuna nyumba ya mlinzi na banda la kuku. Mkataba wa mauziano wa kiwanja upo.
ukihitaji nicheki kwenye namba hii 0783150130