Nyumba inauzwa Keko Mwanga,karibu na kanisa la keko, kubwa ina vyumba sita,uani ina vyumba viwili,ina frem ya duka, maji na umeme. imezungushiwa ukuta.
Bei yake ni T shilings milioni 50
kwa...
Sio laptop but ni Net book of its sort 11.6 screen size, mara nyingi netbook zina screen size ya 10 or less, ni acer-Aspire one 722, ina 4GB DDR3 Memory, ina 500GB HDD ni AMD duo core PROCESSOR...
Acer yenyewe ni mpya kabisa ,tatiso niliwasha pasipo kuichaji kwa kwa muda mrefu nadhani ndio tatiso likaansia hapo.mwenye battery anijuse tumake biashara
MWEMAGE COMPUTE R TECHNOLOGIES CENTRE.
Dealers in :
1. Computer Repair and Maintenance
2. Web design and hosting
3. Local area Network Design and installation
4...
Habari wana JF,tunatoa huduma ya kutangaza biashara mbalimbali kwa kutuma sms kwa watu, tuna application inayoweza kutuma Group/Bulk sms kwa watu wote kwa mitandao yote ya simu kwa bei sawa, ni...
Wadau wa JF natafuta trela kwa ajili kubebea mizigo. Mimi tayari nina kichwa(hose/tractor) ninahitaji trela ili nianze kazi. Yeyote anayeuza au kukodisha tafadhali wasiliana nami kwa PM.
Habari wana JF,tunatoa huduma ya kutangaza biashara mbalimbali kwa kutuma sms kwa watu, tuna application inayoweza kutuma Group/Bulk sms kwa watu wote kwa mitandao yote ya simu kwa bei sawa, ni...
Habarini za majukumu wakuna vichwa? Jamani mbio zinaendelea, natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Kigamboni, iwe ya vyumba 3 vya kulala, iwe kimojawapo ni master. Iwe na maji na umeme wa uhakika...
Ninauza kiwanja hakijapimwa,Kipo Kibada mbele ya kigambo njia ya kuelekea Kisarawe Dar es salaam,Ukubwa robo Heka,Bei 3m maelewano yapo,Mauzo yatafanyika chini ya usimamizi wa Serikari ya...
Kipo Buyuni karibu na Chanika,unapita Pugu Secondary.
barabara ni za uhakika zilichongwa na wizara wakati wa upimaji...sasa hivi kuna mradi mkubwa wa nyumba za PSPF kwenye maeneo haya unendelea...
Ndugu wanaJF
Vipo viwanja sabini vyenye ukubwa wa sqm 700, 900, 1200 eneo liitwalo Kwembe. Ni 3km kamili kutoka morogoro road upande wa kushoto kama unatokea DSM. Viwanja vimegawanywa na mmiliki...
Habari njaema kwa watanzania,viwanja na mashamba vinauzwa maeneo ya zavara na kipawa mpya.vimepimwa na widhara ya arhi ,vina hati.kwa mawasiliano namba ni voda....
JF,
Ipo katika hali nzuri.inafanya kazi vizuri, maintanance yake ni ya kawaida sana haisumbui sumbui.
ni two stroke. bei ni 1,800,000.
ukiwa serious tunaweza ongea zaidi.
Mhitaji ani PM.
Ipo katika hali nzuri.inafanya kazi vizuri, maintanance yake ni ya kawaida sana haisumbui sumbui.
ni two stroke. bei ni 1,800,000.
ukiwa serious tunaweza ongea zaidi.
Mhitaji ani PM.
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa 20/20. kipo karibu na shule ya mshingi na kituo cha polisi cha mapinga.
bei ni milioni 5. kama upo tayari tuwasiliane kwa 0716 174949 ili nikupeleke ukakione.