Wadau, kwa mwenye kuweza nisaidia, nna kahela kangu kadogo, nataka nunua kagari ili kurahisisha shughuli zangu za kila siku...napenda starlet o swift ambayo ina hali nzuri kidogo. Nashukuru.
Wakuu,
Naomba mwenye Polk Audio Subwoofer anipe bei yake tafadhali - I desperately need it , Ningeprefer DSW PRO500 model. Natanguliza shukurani za dhati!
ndugu zangu walioko Tabora mjini mimi natafuta kiwanja kilichopimwa size ya kati (medium) chenye ofa au hati kabisa. Kiwe kinafikika kwa gari na pia kisiwe mbali sana na barabara.. kuu kisiwe...
Dawa ya kukuza, kujaza, na kufanya nywele ziwe nzito inauzwa kwa bei ya sh. 8500/= tu. Mnaweza kuipata kwa kupga simu 0787638521. Napatikana Dsm, Karibuni kina dada na kina mama.
Simu zilizopo katika hali nzuri na za uhakika na kila kitu chake kipo hadi box unapewa
HTC G1 WHITE=400,000.........BLACKBERRY 8520 WHITE =270,000............. BLACKBERRY 8310 =300,000...
Hello JF
Kama kuna mwenyeji wa mwanza anaye jua sehemu gani kuna viwanja au mashamba yanauzwa kwa bei nzuri,si zaidi ya 10m naomba tujulishane.
Au kuna unfinished house ambayo ina ramani nzuri...
Ndugu zangu, natafuta mbwa aina ya German Shepherd (kama wale wa polisi wenye maumbo makubwa). Nipo Dar. Mnifahamishe na bei zake tafadhali. Mawasiliano 0787 991 782. Itapendeza nikipata wenye...
Wadau hasa wa pale Moro naombeni msaada wenu,nahitaji nyumba kwa ajili ya kupanga hasa maeneo ya MAZIMBU au MODEKO,kwa yoyote anaweza kunipa taarifa ya upatikanaji naomba ani PM au tuwasiliane kwa...