Jomla
Member
- Sep 25, 2011
- 79
- 69
Jaman wana Jamii mi ni kijana mmoja wa vijana waliomaliza kidato cha sita mwaka huu na nipo ARUSHA,nina tafuta tempo kwa kipindi hichi ninachosubiria matokeo ili mradi tu iwe ni kazi halali na vigezo vyote vinavyo onesha kuwa nimehitimu kidato cha sita kikiwepo leaving certificate japo natambua kuwa, kuwa na leaving au kumaliza kidato cha sita si kitu ila tu ni kunisaidia tu nisikae tu bure, msaada wenu tafadhali.