Nauza shirt la ukweli....

Nauza shirt la ukweli....

matumbo

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
7,224
Reaction score
3,960
Nauza shirt la ukweri sana,lipo kwenye hali nzuri sana..lina rangi ya pink,nyekundu kidogo kwenye ukosi na mikono ina rangi ya blue..
Nililinunua sikukuu ya xmas 2011,kwa sasa linanibana ndio maana naliuza..

Aliye siriaz anitafute.
 
mie navaa xxxxL.
Kama ni size hiyo ntanunua taja bei
 
Mhm!,haya matangazo mengine ni kushusha hadhi ya Jf jamani,...hebu tuwe serious wadau...
 
Mhm!,haya matangazo mengine ni kushusha hadhi ya Jf jamani,...hebu tuwe serious wadau...
Kwa style hii hata mimi nitaanza kuuza zile nguo zangu ndogo za ndani (chup!) zinazonibana.
 
Mpe ndugu yako au rafiki anayelihitaji .... mambo ya kuuza shati ulilolivaa ni dalili za uzembe.
 
Hawa ni watoto wa shule jamani, msameheni bure!
 
Mhm!,haya matangazo mengine ni kushusha hadhi ya Jf jamani,...hebu tuwe serious wadau...

hadhi ya Jf ni nini?kuuza magari na nyumba pekee?acha kujifanya bab kubwa na kudharau biashara za wenzako.
 
Walio serious jamani tutafutane,bei tutaelewana.
 
usijekushangaa akawa ndio mkufunzi anawakatia modules wadogo zako..jipange!

Mkufunzi mwenye kuvaa shati la Rangirangi kwenye kola, mikono, mabega kama kachumbari ya mboga!....hizo type za bongofleva tu, na kama wewe ni mtu mzima unavaa shati la hivyo na likikubana UNAUZA unahitaji msaada mkubwa!
 
Enheee na mimi ntahamishia hapa banda langu la nyanya, vitungu, nazi, mchicha, matunda n.k....naona watu wanatupiga bao hapa sasa!!
Tena kuna kuku tulishindwa kumula xmas, mama koku akasema eti tutakula pasaka...sasa nampiga mnada hapa.. Wadau mpooooo??
 
Hilo ni tangazo la mwaka ,aliyelitoa tunampa nishani ya tangazo bora la mwaka hapa JF,tokea nimejiunga hap JF aina hii ya tangazo ndio nalisoma leo,ama kweli hujafa hujaumbika ,tutaona mengi kwa kadri siku zinavyoenda mbele,haya ndio yale ukishangaa ya Musa utayaona ya .............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom