Samsung B5702 inauzwa bei nzuri....

tizo1

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
856
145
Habari za wakati wadau.nauza samsung b5702 kwa shilingi laki 110000.nimetumia muda mfupi.inatumia lain 2.ni original.ina 1gb memory card.betry na chaja vipo safi.ukiipenda ni pm au andika hapa hapa kwa mapatano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom