wadau nauza kiwanja kimara suca , kina kibanda cha vyumba 3 , eneo zuri karibu na barabara ,gari linafika , maji , umeme , bei naanzia mil 25 maelewano yapo , na matatizo ya kifamilia ndio maana...
Mambo wakuu !
I have an UNBEATABLE OFFER of 50,000/-TSHS for Designing a COMPANY WEBSITE.
Make your COMPANY ONLINE...for as little investment as 50,000/-Tshs !!
DESIGN a WEBSITE Today
We also...
Nauza cresta nyeupe, auto, km laki na 20, vvti, tair zina miez 6, insuarance mpaka december, mziki mkubwa inbuild, dashbord digital, namba BDW, ipo mbeya town, 0717960200 its my namba for more...
Kuna nyunba katika manispaa ia Lindi, eneo la Mtanda ambayo inapangishwa kuanzia mwezi wa Julai 2012. Pango lake ni US $ 250 kwa mwezi. Nyumba iko katika eneo la sqm 2200 na facilities za kuegesha...
habari wana jf, pls naitaji kujua bei ya dhahabu kwq gram mmoja ni kiasi gani naitaji? pia ni sehemu gani hapa mjini kuna masonara wanaohaminika?
asante
:A S 465::A S 465:Wadau wa JF natafuta Compaq desktop 3 bila screen lakini nipewe keyboard na mouse. Nimeattach picha ya aina ninayotaka.
RAM: 512 MB
HD: 40 GB + :A S 465:
Nyumba yenyewe ina Sitting room, masterbedroom,study room,bedroom,kitchen. Car parking. Enclosed wall and gate.
Nahitaji laki nne tu! (450,000) na mkataba ni kuanzia mwaka mmoja tu (1). No...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.