Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Wakubwa kuna chumba na sebule na choo chake ndani kinapangishwa maeneo ya mbezi beach (ya chini)
kutoka nyumba ilipo na barabara kuu ni 1KM . Hicho chumba na sebule vipo ndani ya fensi gari hata kumi unapark
Bei ni tsh 180,000 wanapokea kwa mwaka. kama utahitaji niPM
Natanguliza shukurani
kutoka nyumba ilipo na barabara kuu ni 1KM . Hicho chumba na sebule vipo ndani ya fensi gari hata kumi unapark
Bei ni tsh 180,000 wanapokea kwa mwaka. kama utahitaji niPM
Natanguliza shukurani