Habari za wakati wadau.nauza samsung b5702 kwa shilingi laki 110000.nimetumia muda mfupi.inatumia lain 2.ni original.ina 1gb memory card.betry na chaja vipo safi.ukiipenda ni pm au andika hapa...
Nina nokia orijino 5130 expres music ina miez mitatu,vilevile nina sumsung rokea 5570 imedizainiwa china ila ina program zote za orijino ina internal memory 65mb,ina download application na...
Habari wanajamvi, natumai wote wazima. Naomba kama mtu ana fahamu namna ntakavyoweza kupata visa ya Indonesia, nimejaribu kucheki kwenye mtandao wanasema hawana embassy in Tanzania, so nitafute...
Nauza shirt la ukweri sana,lipo kwenye hali nzuri sana..lina rangi ya pink,nyekundu kidogo kwenye ukosi na mikono ina rangi ya blue..
Nililinunua sikukuu ya xmas 2011,kwa sasa linanibana ndio...
Wadau,
Nahitaji kufanyia Services Gari aina ya Ford Galaxy,
Tatizo ni kua nimekua nikitumia mafundi wa mtaani ambao naona kama wananiharibia tu gari.
Please nisaidieni kama mnawafahamu...
BRAND NEW APARTMENT HOMES TO LEASE! Two bedrooms apartments at the heart of Kunduchi Beach, near the Military Academy! These six apartments units in a triple storey building with two units each...
Ipo mbagala anazasa imekamilika ujenzi bdo kupaua/kuezeka tu. Ni self ina vyumba 3,dinning,sitting,jiko,master room na vyumba viwili vya kulala na karo la maji machafu limekamilika ujenzi. ipo...
Kiwanja kizuri kabisa kinauzwa, kiko Njiro maeneo ya Kikokwaru. Huduma ya maji na umeme ipo karibu.
Ukubwa: mita 35 x 70
Bei: Mil. 45 Tsh.
Mwenye kuhitaji ani- PM.
Karibu sana!!
Kipo kandokando ya barabara ya kilwa road maeneo ya mivinjeni, kinatosh kuweka kituo cha mafuta au hata supermarket, piga 0654 812 991 kwa maelezo zaidi.:a s 465:
Gari ikiwa kwenye silence haitulii na inakuwa inatingishika na ni kero kwenye foleni. Nimekuwa na mafundi watatu bila suluhu na naona hawajajua kiini. Nimebadili plug, nimenunua radiator,feni...
Do your company need a website or place to host a website?......we are providing those services at reasonable price and all development cycle process will be followed to assure standard, six month...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.