frozen Senior Member Aug 12, 2010 135 32 Mar 26, 2012 #1 wadau habari, nataka jua wapi naweza toa copy cd ,yani kutoka kwenye master copy cd na kutengeneza copy zingine 500, mwenye kufahamu plz
wadau habari, nataka jua wapi naweza toa copy cd ,yani kutoka kwenye master copy cd na kutengeneza copy zingine 500, mwenye kufahamu plz
S Spear_ JF-Expert Member Dec 29, 2010 1,603 486 Mar 27, 2012 #3 frozen said: wadau habari, nataka jua wapi naweza toa copy cd ,yani kutoka kwenye master copy cd na kutengeneza copy zingine 500, mwenye kufahamu plz Click to expand... ni cd ya kawaida au ni Dvd? upo wapi?
frozen said: wadau habari, nataka jua wapi naweza toa copy cd ,yani kutoka kwenye master copy cd na kutengeneza copy zingine 500, mwenye kufahamu plz Click to expand... ni cd ya kawaida au ni Dvd? upo wapi?
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,374 Mar 27, 2012 #4 cheki na wahindi au wachina wa kariakoo..au pale KVD makunganya street
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,644 68,594 Mar 27, 2012 #5 Nipeni dili masela ni PM nakutoelea kwa sh 100 kila CD. Stop piracy.
Who Cares? JF-Expert Member Jul 11, 2008 3,507 3,364 Mar 27, 2012 #6 Mnhhhh..ni pm nikupe namba za ray na kanumba watakusaidia