wapi naweza toa copy cd kama pc 500

wapi naweza toa copy cd kama pc 500

frozen

Senior Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
135
Reaction score
32
wadau habari, nataka jua wapi naweza toa copy cd ,yani kutoka kwenye master copy cd na kutengeneza copy zingine 500, mwenye kufahamu plz
 
wadau habari, nataka jua wapi naweza toa copy cd ,yani kutoka kwenye master copy cd na kutengeneza copy zingine 500, mwenye kufahamu plz

ni cd ya kawaida au ni Dvd? upo wapi?
 
cheki na wahindi au wachina wa kariakoo..au pale KVD makunganya street
 
Nipeni dili masela ni PM nakutoelea kwa sh 100 kila CD.


Stop piracy.
 
Mnhhhh..ni pm nikupe namba za ray na kanumba watakusaidia
 
Back
Top Bottom