Wakuu inahitajika gari ndogo ya matumizi ya hapa mjini Dar es Salaam ambayo matumizi ya mafuta ni ikonomiko.
Iwe katika hali nzuri na iwe inatembea.
Iwe hapa hapa Dar bajeti mil 4.
Kwa walio...
Msaada kwa wenye kujua tatizo hili kwa balckberry, nilikuwa na download nimbuzz nilipomaliza ikaniambia ni restart phone, baada ya ku irestart haiwaki tena, ikiwaka ikifika kwenye initialising...
DOBEA SMART CONSULT is a part of DOBEA GROUP Ltd providing Business Development, research and Consultancy services. It was officially registered under the companies act no.12 of 2002 with...
Nyumba hii imebakia kupauliwa, ina vyumba 3, jiko, sitingroom, dining na vyoo ndani. Ipo bunju b kama mita 500 kutoka barabara kuu iendayo bagamoyo. Haina dalali ni ya jamaa yangu wa karibu sana...
Msaada kwa wenye kujua tatizo hili kwa balckberry, nilikuwa na download nimbuzz nilipomaliza ikaniambia ni restart phone, baada ya ku irestart haiwaki tena, ikiwaka ikifika kwenye initialising...
Hii ni jenereta ndogo original ya kizamani inauzwa. Inapatikana moshi mjini ni nzuri kwa kifupi ni jiwe, inatumia lita 3 full tank. Haina dalali nilikuwa nafanya nayo biashara pale mo town sasa...
Viwanja mbezi msakuzi vinauzwa
mita 22*22 mil 3, 22*25 mil 3.5 and 26*40 mil 6
umeme upo na barabara nzuri mpaka viwanjani
(piga 0715055577 au 0769055577 kwa taarifa zaidi)
Ina vyumba 14, na mbele ina ki-apartment cha vyumba viwili na choo INAFAA KWA HOSTEL iko maeneo na majengo moshi ( baada ya makubalianao itafanyiwa marekebisho) +255 768-390-212
lipo lugwagu km 7 kutoka barabara ya lami iendayo kongowe kituo cha mwembe mtengu. Unaweza kupitia ferry ambo ni km 20 kutoka kivukoni hadi kwenye junction ya kuingia shambani na km 4 kutoka...
Four Prime beach plots from 1209sqm, 1400sqm, 1245sqm and 1400sqm are up for sale at a rate of $65 per sqm! These plots are on second/third line from the sandy beach plots! Experience the...
Kipo Ukuni, Bagamoyo, mita 200 kutoka barabara ya Dar-Bagamoyo. Ukubwa wa Sq 628 @ Tshs. 17m Kimepimwa na kina document zote halali. Upo msingi wa nyumba ya vyumba vitatu, dining, etc. MIDDLEMEN...
hii picha nimedowload knye mtandao.
msaada kwa anaejua uimara na ubovu wa hizi gari kabla sijaingia chaka kina cc 1290 kinauzwa 7.5M nataka nikitest ila nahofia kisijekuwa ni sampuli za Bajaji
Nina gari aina ya toyota vista ardeo yenye engine ya D4. Imeanza kunisumbua na kila nikipeleka garage ni miyeyusho tuu.
Kwa yeyote mwenye kujua fundi mzuri tafadhali awasiliane nami (0719123216)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.