Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau, Nahitaji gari zifuatazo kama kuna mtu anauza. Iwe imetumika kati ya mwaka mmoja hadi miwili, na iwe katika hali nzuri. Bei ni maelewano kutokana na hali ya gari. - Toyota Premio, 1800cc...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nauza gari aina ya Vitz ni ya mwaka 2001
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Iwe used but good condition, vitu vyote viwepo,nyeusi
0 Reactions
1 Replies
861 Views
Habari za shughuli wadau, Nimepata uhamisho wa kikazi ghafla juzi kwenda mkoani. Nyumba hii nilikuwa nimehamia mwezi huu yani yaani tarehe3, lakini ndiyo hivyo tena risks ambazo siku-foresee...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Simu zinauzwa,bei ni 150,000 kila moja,kwa yeyote anayehitaji apige 0767 726964.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Isuzu Trooper ya mwaka 1993. Ipo Mbezi ya Kimara. Excellent Condition. Bei 16m. Magari mengine ni - Kia Saloon 8.5 m ipo Znz. Contact me for more details.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni mpya haikuwahi tumika.nicheki kwa namba 0655945598.
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Wazee nahitaji msaada ,kuan ndugu yangu anataka nimtumie documents zake ..kutoka hapa TZ kwenda moscow.ila mimi nipo mkoani nataka msaada wenu kuhusu gharama.documents zenyewe haizizidi kilo moja...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wana jamvi , nimeanzisha ka NGO kangu natafuta mtalaam wa kunitengenezea ka website ambako si a ghali sana . Email yangu - mn04363@googlemail.com
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Iwe ina run on hspda,cdma!!!
0 Reactions
0 Replies
887 Views
premio nzuri sana year-1999 Engine -3s Call- 0719539431 (larson) Fuel-Petrol Condition -Excellent Transmissions -Aromatic Price-7.5 Million...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa maeneo ya magomeni kagera ni yakukarabati kidogo tu ni ya vyumba 6 na mabanda ya uwani mawili, bei ni mil 70 gari inafika adi mlangongoni cm yangu,,0767 666137
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ipod touch 8gb,1 month used kwa 200000tsh,mawasiliano tu.tuchekiane 0653269241
0 Reactions
6 Replies
1K Views
guys mwenye nokia e71 naomba tufanye exchange nimpe nokia e63 nimwongeze na kiac flan cha pesa mi niko mwanza namba yangu ni 0764339400
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyumba ya ghorofa moja ipo Kimara stopover - Michungwani area(haijapauliwa) inauzwa bei ya kutupa,Ina Master bed room 3 za ukubwa wa 6x6mtr ziko juu,Bed room ya kawaida 1 ya 5x5mtr iko juu,M/bed...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wakuu anaye uza htc sensation anicheki.kama used iwe hali nzuri no michubuko.0688033330
0 Reactions
2 Replies
801 Views
Kwa wenye uzoefu na gari za peugot 206 noambeni ushauri, nataka kununua gari hii lakini sina uhakika kuhusu maintenance yake kwa hapa TZ.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kwa wale wapenzi UNLIMITED BROADBAND leo nimeinasa hii:- "Napenda kuwafahamisha kua TTCL imefanya marekebisho ya huduma zake za broadband zisizo na kikomo (unlimited packages) katika maeneo...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Nina asali safi tani 5, natafuta soko. Bei ni maelewano, na kwa kukubaliana naweza kumsafirishia hadi popote ndani ta TZ. Asali hii imetokana na misitu ya asili. Ni asali safi ambayo haikuchemshwa...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Price : 950,000 TZS Incl: Free Leather Targus case tri fold Condition : Brand new and sealed in box contact : 0766-400238
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…