Habari wakuu
Kutokana na gharama za uandaaji wa mitihani kuwa kubwa katika shule yetu, tumekuja na wazo la kununua vifaa vyetu ili kuokoa gharama
Vifaa tunavyo hitaji ni Printer, Photocopy machine na desktop computer
Kwa bajeti ya sh milion 2,Naombeni ushauri wenu najua hapa jf kuna watu wanauzoefu na hivi vifaa ni aina gani ya hivyo vifaa ni nzuri kulingana na bajeti yetu?
Natanguliza shukrani
Kutokana na gharama za uandaaji wa mitihani kuwa kubwa katika shule yetu, tumekuja na wazo la kununua vifaa vyetu ili kuokoa gharama
Vifaa tunavyo hitaji ni Printer, Photocopy machine na desktop computer
Kwa bajeti ya sh milion 2,Naombeni ushauri wenu najua hapa jf kuna watu wanauzoefu na hivi vifaa ni aina gani ya hivyo vifaa ni nzuri kulingana na bajeti yetu?
Natanguliza shukrani