Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Salam kwa wote! Nyumba mbili pamoja na kiwanja cha kutosha zipo MOSHI mjini Eneo la karanga, bara bara ya Moshi Arusha, mkabala na geti la Magereza la karanga Moshi. Kwa maelezo zaidi piga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman kwa wale wanaotaka kiwanja!! Kipo Dodoma ndani ya manispaa maeneo ya makulu!!karb na reli Kimepimwa doc zake zipo. Maji yapo karbu kama nyumba 2...3 hivi ya kusogeza tu! Na umeme pia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
natafuta thin client terminals,ziwe na software pamoja na adaptor zake.my offer 20USD,or karibu na hapo.kwa maelezo zaidi niPM
0 Reactions
5 Replies
1K Views
spesfications;- model HP 6910p processor duo core 2.0 Ghz Ram 2 Gb DVD RW Battery 3+ Hrs HDD 80 Gb screen 14.1" condition Used bluetooth, Wifi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana JF mimi ni kijana niliyejiajiri nina elimu ya Tax management and Accounting pia nina uzoefu wa micro business assessment and analysis kwa zaidi ya mwaka na nusu nikiwa kama afisa mikopo na...
0 Reactions
0 Replies
951 Views
  • Closed
Haina tatizo lolote, used lyk new !! Pm me
0 Reactions
1 Replies
926 Views
Pikipiki iko ktk hali nzuri inatembea..piga 0755666865!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani ndugu zangu nauza gari Isuzu Journey, Engine type 4BD1, Seating capacity 29, Imported-Singapore, Imefanya kazi ya Daladala kwa mwaka mmoja sasa, Tegeta-Ubungo. Ipo katika hari nzuri, Bei...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Malecela Blog - Karibuni sana wananchi. William.
1 Reactions
106 Replies
19K Views
wadau karibuni kwa. wale wapenzi WA android bei nipm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mambo vipi wana JF? Gari aina ya RAV 4 ya milango 5 ya rangi ya SILVER, imetengenezwa mwaka 1998, Engine capacity ni CC 1984 Odometer ni km 160,000 Owner ni mmoja tu tangu imeingia Tz. Inauzwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Uwanja ni mkubwa na umepimwa, upo karibu kabisa na bandari upo katika eneo la Tom Estate hapa kurasini. nyaraka zote muhimu zipo na anayehitaji kuziona au kuona eneo anaweza kunipigia, au tuma...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau Rav4 kama hii hapa chinii inaweza kwenda kwa Tsh ngapi? Toyota RAV4 5-Dr 2.2 D-CAT SR 5doors Year: 2003 108,000 miles Manual 2.0L Diesel 5 Door Estate, Silver, Diesel, Manual.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nissan Patrol 4 sale details zote ziko hapo chini bei 17m but its negotiable for genuine buyer tuwasiliane kwa cell # 0719757700
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta Laptop ya bei poa Ram 2Gb Processor 2.0GHZ-240GB au zaidi offer yangu 350,000/=
0 Reactions
9 Replies
1K Views
habari zenu wakuu nauza simu yangu aina ya nokia c2 kwa bei ya tshs.110,000/=.maongezi yapo simu ni mpya kabisa imetumika wiki mbili tu naiuza coz nataka ku-upgrade simu hadi kwenye smart phone...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
WADAU Blackberry hizo zipo sokoni changamkieni dili
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mysteryman 18:53 Today wakuu ninahitaji mkopo wa milion moja wenye riba nafuu.....nitarejesha baada ya miezi minne na uwezo wangu au riba isizidi laki tatu kwa miezi yote minne.....nina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapi naweza pata hii simu Huawei Ideos X5 kwa hapa bongo?kama yupo anayejua anijuze,kama pia anajua bei yake itakuwa mswano
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Mambo vp wana jf? Kiwanja kina ukubwa wa nyuma 15 mita kwa 23mita mbele, na pembeni ni 17 kwa 15 mita. HAKIJAPIMWA NA HAKINA HATI. Kwa mawasiliano: 0762 101178 au 0717 123464
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…