Kiwanja kinauzwa Mbezi Beach Makonde opposite na JK Nyerere International School
1. 400 square meters
2. Kina Title DID
3. Kina meter ya DAWASCO
4.DALALI HATAKIWI KABISA
BEI MILIONI 100 HADI 85...
Nahitaji kujua studio amabayo naeza nika tumia kwa mdaa au for a while to make my music sio ku record, jus to make my beats...nilikua na studio witch was my uncles lakini i traveled 2 dar....if...
wanajamvi habari zenu?
Natafuta engine ya suzuki, old model Sierra 5 speed zile kama za mahakimu, kwa mwenye nayo naomba ani pm na bei yake na mahali alipo lakini ni vizuri zaidi kama ikipatikana...
Nyumba ya ukubwa wa room 3 sebule dining na choo cha ndani chumba kimoja ni master, ipo umbali wa km 4 toka mbezi mwisho upande kulia kama unatoka kimara bei milioni 28,000,000/= 0787 139327 or...
PLOT 2 zilizoshika zipo BUNJU A BLOCK 6, moja ina ukubwa wa 1450sqm na nyingine 1250sqm,
zina hati, kila moja inauzwa milioni 50.
PLOT 1 inauzwa, ina nyumba kuukuu, ipo oposite na exim bank...
Wakuu,
Nahitaji land surveyor kwa ajili ya kupima kiwanja changu maeneo ya Tangi bovu, mbezi beach.
Nimejaribu land surveyor wawili, ila sikuwapenda kwa kuwa hawakuwa makini na pia ni waswahili...
Ni nyumba nzuri, ina vyumba 4 vya kulala , sebule, sehemu ya chakula na choo. pia pembeni yake kuna nyumba yenye vyumba 3,nyumba ina kisima cha maji, umeme, na imezungushiwa ukuta ndani unaweza...
Heshima mbele wadau...!!
Kama upo Arusha na unahitaji Computer Used Bomba...Tuwasiliane........
Zipo HP DC7600 (CPU 3.0GHZ, 1GB-RAM, 80GB HDD Windows 7 Ultimate) + HP 17"TFT Monitor (Flat...
Wadau wapi nitapata hii mashine kwa lengo la kurahisisha kilimo cha vitunguu (umwagiliaji maji) about half an acre? Mimi ni mjasiriamali mdogo tu nipo huku wilaya ya Ruangwa. Please niambieni na...
Karibuni mboreshe afya zenu(ikiwezekana na kipato) kwa kutumia bidhaa bora kabisa ulimwenguni zilizotengenezwa na aloe vera(Shubiri).
Bidhaa kama Forever Bright Toothgel(Bidhaa ya meno) ni bidhaa...
Nyumba ni kubwa ina vyumba 4 vya kulala na uwani ina vyumba 3 jumla ina vyumba 7. pia ina choo ( public toilet) uwani, mbele ina vyumba 2 vya biashara ambavyo vimeunganishwa na nyumba. imeezekwa...
how are you everyone? house for sale!! it has 2master bedrooms,2bedrooms,1sitting room,1dining room and e.t.c the house is at Sinza, Dar es salaam Tanzania. if you are interested on it please...