wanajamvi habari zenu?
Natafuta engine ya suzuki, old model Sierra 5 speed zile kama za mahakimu, kwa mwenye nayo naomba ani pm na bei yake na mahali alipo lakini ni vizuri zaidi kama ikipatikana Dsm, Moshi au Arusha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.