Pata ardhi kwa bei nafuu

Pata ardhi kwa bei nafuu

zumbemkuu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
11,333
Reaction score
9,796
PLOT 2 zilizoshika zipo BUNJU A BLOCK 6, moja ina ukubwa wa 1450sqm na nyingine 1250sqm,
zina hati, kila moja inauzwa milioni 50.

PLOT 1 inauzwa, ina nyumba kuukuu, ipo oposite na exim bank Buguruni Rozana, ni corner
plot, commercial plot. ina ukubwa wa 450sqm, bei milioni 350.

PLOT 1 inauzwa, ipo Yombo CCM karibu na ABIOLA, ipo barabarani, ina ukubwa wa 459sqm.
bei milioni 45.

kwa anayehitaji wasiliana nami kwa namba 0786407235/0764834622 na 0715686424

NOTE:

mimi sio dalali ila wenye Plots ni ma'clients wangu na wananitumia mimi kama mshauri wao wa maswala ya ardhi, niliwachorea ramani za nyumba ndo wakaniomba niwasaidie kutafuta wateja wa plot zao, pia najaribu kubahatisha kupata kazi ya ku'design ramani ya jengo kwa atakayenunua. (mimi ni graduate architect)

JF daima.
 
Sasa kama wewe sio Dalali mbona unafanya kazi ya Udalali? mie naona wewe sio Dalali ila wewe ni Balali
 
Sasa kama wewe sio Dalali mbona unafanya kazi ya Udalali? mie naona wewe sio Dalali ila wewe ni Balali
mkuu hujajishughulisha kusoma thread yote!
mimi ni architect, udalali sio kazi yangu, plots hizi zimetokea by chance kutoka kwa clients wangu.
 
PLOT 2 zilizoshika zipo BUNJU A BLOCK 6, moja ina ukubwa wa 1450sqm na nyingine 1250sqm,
zina hati, kila moja inauzwa milioni 50.

PLOT 1 inauzwa, ina nyumba kuukuu, ipo oposite na exim bank Buguruni Rozana, ni corner
plot, commercial plot. ina ukubwa wa 450sqm, bei milioni 350.

PLOT 1 inauzwa, ipo Yombo CCM karibu na ABIOLA, ipo barabarani, ina ukubwa wa 459sqm.
bei milioni 45.

kwa anayehitaji wasiliana nami kwa namba 0786407235/0764834622 na 0715686424

NOTE:

mimi sio dalali ila wenye Plots ni ma'clients wangu na wananitumia mimi kama mshauri wao wa maswala ya ardhi, niliwachorea ramani za nyumba ndo wakaniomba niwasaidie kutafuta wateja wa plot zao, pia najaribu kubahatisha kupata kazi ya ku'design ramani ya jengo kwa atakayenunua. (mimi ni graduate architect)

JF daima.

Ku design ramani ya jengo, mfano nataka nyumba standard ya kisasa yawezani-cost how much. Naomba usiseme inategemea na hiki, kile wala nini. Kama inategemea na hiki....wekA bei yake. Na kama inategemea na kile weka bei yake pia,. Yani you just explore all the possibilities na come up with explanation ambayo itakua informative kwa jf members wote (Ukiweka vimichoro na picha sio mbaya pia). No PM stuff. Nikiridhika, towards the end of this year, we will do business together
Samahani kama ntakua nimekukwaza
 
So long as umeamua kufanya udalali, wewe ni dalali tu. Mbona watu wengi tu madalali humu JF, Hebu tuambie sasa bei za wenyewe ni sh ngapi kwa hizo plot?
 

kwa anayehitaji wasiliana nami kwa namba 0786407235/0764834622 na 0715686424

NOTE:

mimi sio dalali ila wenye Plots ni ma'clients wangu(mimi ni graduate architect)

JF daima.

Sasa kama sio dalali kwa nini umeweka namba zako na si za hao ''clients'' wako?
 
Back
Top Bottom