Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,299
Wadau wapi nitapata hii mashine kwa lengo la kurahisisha kilimo cha vitunguu (umwagiliaji maji) about half an acre? Mimi ni mjasiriamali mdogo tu nipo huku wilaya ya Ruangwa. Please niambieni na bei yake,najua inanuliwa tu.