Alkam Alkam
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 602
- 509
Husika na kichwa hapo juu,Natafuta boss Mwenye gari Prado 120 tufanye biashara ya kuikodisha
Gari Hii hua inalipwa kwa siku na mafuta Mara nyingi mteja ndo hua anaweka Sie hua tunachaji Bei ya gari na Dereva
Sasa hivi kazi zipo na kazi inaweza kua ya siku mbili tatu nne tano na kuendelea,kazi inaweza kua mkoa wa Dar es Salaam ama mikoa mingine
Me ni Dereva nina vyeti vyote NIT na veta na Nina leseni hai class C na madaraja mengine
Mfano wa gari yenyewe
Karibuni Sana Pm Au kwa mawasiliano zaidi (mstaarabu92@yahoo.com) hiyo ni email yangu.
Gari Hii hua inalipwa kwa siku na mafuta Mara nyingi mteja ndo hua anaweka Sie hua tunachaji Bei ya gari na Dereva
Sasa hivi kazi zipo na kazi inaweza kua ya siku mbili tatu nne tano na kuendelea,kazi inaweza kua mkoa wa Dar es Salaam ama mikoa mingine
Me ni Dereva nina vyeti vyote NIT na veta na Nina leseni hai class C na madaraja mengine
Mfano wa gari yenyewe
Karibuni Sana Pm Au kwa mawasiliano zaidi (mstaarabu92@yahoo.com) hiyo ni email yangu.