Masoko yapo kwa wachina mikocheni sema tangu wamebadilisha sheria ya madini bila vibali inazngua jela nje nje.Naomba msaada napata vip soko
Jela=hela nje nje?Masoko yapo kwa wachina mikocheni sema tangu wamebadilisha sheria ya madini bila vibali inazngua jela nje nje.
Magereza na kesi itakayokukabili ni uhujumu uchumi.Jela=hela nje nje?
Unaweza share address?Masoko yapo kwa wachina mikocheni sema tangu wamebadilisha sheria ya madini bila vibali inazngua jela nje nje.
Hapana Boss wangu.Unaweza share address?
Vipi kuhusu wataalamu na Wizara ya madini wanasemaje.Nmekuwa nikimiliki eneo kubwa sana, katka eneo langu kuna sehem haya madini yanapatikana kwa wingi sana sasa natafuta soko lake
Atakae nipatia soko lazma atapata 5% ya mauzo
AhsantenView attachment 2688672View attachment 2688673View attachment 2688674View attachment 2688675View attachment 2688677View attachment 2688676