Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau naomba mnipe ushauri na a way forward. Mimi ni graduate ila si engineer ingawa nimefanya mambo ya construction pale UCLAS. Nimesajili kampuni ya contractors BREla sasa nataka kwenda CRB...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bata mzinga na kuku wa kienyeji wanauzwa kwa bei poa dar,,,kwa ma wasiliano piga 0712419419
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Rav4 inauzwa ipo safi, bei Tsh 14,000,000/= 0715287506.
0 Reactions
1 Replies
952 Views
wadau jf natafuta samsung galaxy s iliyotumika
0 Reactions
4 Replies
1K Views
I posted this advert days ago Hermes Power Inc: COCA COCA ADVERT, IS IT FARE FOR AFRICAN? Then it appeared with translation on michuzi Africa should think before others think MICHUZI...
0 Reactions
0 Replies
876 Views
Samsung Galaxy S II ipo sokoni Imetumika kidogo haina tatizo lolote, Ina original chaja, headphone battery pack (extra battery) Specs: cpu ni 1.2 Duo core Ram 1GB display HD Camera 8 megapix...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Shamba lenye ukubwa wa eka mbili na nusu linauzwa. Liko Vianzi maeneo ya Vikindu. Bei ni shs 10m lakini maelewano yapo. Kama unahitaji nipigie 0754 599929. sina dalali yeyote mawasiliano yote yaje...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunahitaji dada mwenye ujuzi wa kazi za customer care mwenye sifa zifuatazo. awe na umri usiozidi miaka 30. awe na ufahamu walau kidogo wa lugha ya kiingeleza Awe na uwezo wa kutumia computa hasa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu, Nahitaji nyumba ya kupanga yenye walau vyumba viwili vya kupanga IRINGA mjini. Tafadhali mwenye taarifa anijuze.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je unataka chumba cha kupanga hapa jijini mwanza tafadhali tembelda http://joackim.thomas@facebook.com kwa maelezo zaidi au piga simu namba 0765936964.bei zetu ni nafuu karibu sana.....
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Canon Digital Camera imeokotwa tarehe 10/07/12 saa 11 jioni maeneo ya Ubungo stand ya Mlandizi, mwenyewe alitafutwa kwa muda huo haukupatikana. Tafadhali kama kuna mtu anamjua aliyepoteza...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Wadau kwa wanaopenda kuwekeza kwenye aridhi . kuna uwanja mzuri upo katika eneo zuri la kibiashara hapa Upanga . ENEO lina Sqm 1894 unaweza kujenga apartment 2 kubwa ktka hili eneo au kitegauchumi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naitwa ally riyami nauza cmu aina ya bberry curve1&2 na nokia e63 bei poa tuwasiliane 0652740304
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kiwanja hiki kipo karibu kabisa na kituo cha mabasi kina sqm 15 x 30. kwa sasa kiwanja hiki kimejengwa nyumba ambayo mnunuzi atavuja . ni kizuri kwa biashara ya hotel,supermarket , kituo cha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
imetumika kidogo,ni ya zyxel,nbg4115.ina vifaa vyote kama antena nk.ina ports mbili za ethernet na inaitaji modem au ule wire kutoka kwa isp.it transmits up to 150mbps.bei ni laki moja.kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Torch 9800 nyeusi used ina scratch housing yajuu kwa pembeni,inakaa sana na charge haina tatizo lingine,kuanzia 400,000 pungufu unaongea 0712000119 nipo Dar
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SONY Camera ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye kusifika. Camera hii itaambatana na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
SONY Camera ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye kusifika.Bei yake shs 2 milioni, kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
simu hizo hapo zauzwa zikiwa zimetumika kwa mwezi mmoja tu. nipo dar nipigie 0682399189.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
ni bei ya promotion,inarange btn 200,000-300,000,inategemea na contents uzazohitaji ziwekwe.Pia tunatengeneza blogs kwa 30,000-40,000.logos 15,000, banners 10,000. Tupo Mikocheni A karibu na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…