Shamba linauzwa

grndossy

JF-Expert Member
Apr 20, 2011
311
80
Shamba lenye ukubwa wa eka mbili na nusu linauzwa. Liko Vianzi maeneo ya Vikindu. Bei ni shs 10m lakini maelewano yapo. Kama unahitaji nipigie 0754 599929. sina dalali yeyote mawasiliano yote yaje kwangu.
 
Shamba linauzwa, liko barabara ya kuelekea Lindi, ukifika Vikindu unaingia kushoto kama km 3 au 4 hivi. Lina mikorosho na miembe na halijalimwa muda mrefu. Kama uko tayari tuwasiliane naweza kukupeleka kuliona. Bei ya kuanzia shs.10mil mazungumzo yapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom