Canon Digital Camera imeokotwa tarehe 10/07/12 saa 11 jioni maeneo ya Ubungo stand ya Mlandizi, mwenyewe alitafutwa kwa muda huo haukupatikana. Tafadhali kama kuna mtu anamjua aliyepoteza Camera tuma comment tafadhali
Hongera sana mheshimiwa!!Mungu akubariki sana,hakika umenipa moyo kuwa kumbe ndani ya dunia hii iliyojaa kila aina ya dhuluma,bado kuna watu wema wachache na wewe ni mfano hai!!
Hongera sana mheshimiwa!!Mungu akubariki sana,hakika umenipa moyo kuwa kumbe ndani ya dunia hii iliyojaa kila aina ya dhuluma,bado kuna watu wema wachache na wewe ni mfano hai!!next time ntakuombea Mungu uokote gari lenye card yenye jina na utambulisho wako.
nbona bado hujaapload au ulikua unatania
weka picha unaweza kukuta ni ya jamaa yake kova
walikua wanafanya shuting ya ile movie yao mapwepande na mkenya wao ft mchungaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.