Habari wanajamii? hope ni poa, naombeni msaada wa info. hapa, nahitaji blank dvd zile za 8GB, wapi naweza pata hapa town na bei yake ni ngapi? Asanteni
Upande wa nyumba unapangishwa Sinza Mori, 1 bedroom, 1 sitting room, kitchen, bathroom/toilet na kabaraza kadogo ka kupumzikia.
Inafaa pia kwa ofisi ndogo ndogo kama za NGOs nk.
Malipo ni...
karatu ni mji wa kitalii unaokua haraka ikiwa una ndoto ya kuwekeza hapa unahitaji kupata uwanja mdogo wa gharama nafuu, kuanzia laki tano hadi m.ishirini au zaidi usiumize kichwa kama...
For Native Swahili and Other African languages needs – Translation, Interpretation, Transcription, Teaching, Cultural tour visits and many more, look no further now: Languages Africa, Home...
wATAALAMU NAOMBA MSAADA KAMA KUNA UWEZEKANO WA KUOKOA PICHA KWENYE DIGAL KAMERA AMBAZO ZIMETOWEKA BAADA YA KUWEKA MEMORY KAD AMBAYO HISI ILIUWA NA VIRUS......NI PICHA MUHIMU SANA KWANI ZIMEBEBA...
TOYOTA VOXY (2002) toka Japan,imetembea Km 69641,STATION WAGON(SILVER) yenye Reg no T919 BUK.PETROL ENGINE,seating capacity 8.
Bei mil13
Contacts
0716 390 337
0764 468 469
Ninazo course nyingi za mafunzo kwa njia ya Video, zinazowezesha kujifunza na kuongeza ujuzi wako katika fani hii
Kozi hizi zimewawezesha wengi kufaulu mitihani yao, pia kuwa na uwezo mkubwa...
Ninauza viwanja viwili. Kimoja kipo Arusha kijiji cha Moshono Kati. Ukifika Moshono bus stand ukitokea Arusha Mjini unafuata barabara ya vumbi mkono wa kulia. Ni mwendo wa robo saa tu kwa mguu...
Nina tatizo ma Staff wa kitengo cha CC cha Vodacom. Kwa kuwa wameshindwa kunipatia ufumbuzi naanza kupanda ngazi kwenda juu. Tafadhali sana kwa anayejua naomba kupata email za CEO wa Vodacom, ya...
Eneo ni kubwa na linafaa kwa matumizi ya biashara kama garege, parking ya magari makubwa au kiwanda. lina ukubwa wa SQM 14,600. eneo lote limezungushiwa ukuta. ndani lina nyumba ya kisasa...
Travel Agent from Russia looking for Hunting safari packages
7 days Package
14 days Package
21 days Package
All inclusive
Am a Business Development Expert and Online Marketing Expert.
The...