Bi nyakomba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 385
- 104
ni kiwanja kizuri, kimepimwa, medium size, kiko block Q, squremita 800:kiwanja Kiko karibu na shule ya Sekondari tushikamane. Kwa maelezo zaidi piga namba. 0713506260
Pungufu unaongea au ndio TOOOOOP!! Ngoja nicheki na wakazi wa Moro kina Next Level, Maty na Mtumpole wakifanyie logistics.bei ni 6.5m wakuu. sio dalali
Hivi sekondari ya Tushikamane ambayo ipo njia ya kilakala karibia na mat*ko bar? au ni lile iliyopo mazimbu-rodi kihonda?
nataka nifaham ili km vip tuongee dili.
Pungufu unaongea au ndio TOOOOOP!! Ngoja nicheki na wakazi wa Moro kina Next Level, Maty na Mtumpole wakifanyie logistics.
Hivi sekondari ya Tushikamane ambayo ipo njia ya kilakala karibia na mat*ko bar? au ni lile iliyopo mazimbu-rodi kihonda?
nataka nifaham ili km vip tuongee dili.
Pungufu unaongea au ndio TOOOOOP!! Ngoja nicheki na wakazi wa Moro kina Next Level, Maty na Mtumpole wakifanyie logistics.
Haya Bi nyakomba popote ulipo, hebu msome Mtumpole hapo chini.....Asante babu, sema nao then, nidekishie, bei inapungua
Sekondari ya Tushikamane wanasema Kihonda, kwa Morogoro Kihonda ni kubwa sana, kuna Kihonda, Kihonda kwa Chambo, Kihonda Kilimanjaro nk sijui ndio Kihonda Tushikamane ila unakatiza njia ya Mazimbu kama unatokea Kihonda kwa Chambo alafu utakutana na njia panda ya kuelekea Shule ya Sekondari Tushikamane. Kwa kifupi huko hakuna umeme wala maji, ila kwa hiyo bei ukienda Manispaa utapata kiwanja maeneo mazuri zaidi ya hapo tena kwa bei nafuu zaidi ya hiyo kwa ukubwa kama huo.
Kama atakuuzia kwa 4.0m hapo sawa.