Abraham Moshi
Member
- Jan 16, 2012
- 20
- 8
Eneo la hekari mbili linauzwa Kibaha kwa Mathias Kidenge njia ya kwenda Msangani kuna maji na umeme upo karibu, barabara inafika mpaka kwenye eneo. Lina miembe miwili, minazi mitano, michungwa miwili. Linapakana na kanisa Katoliki kigango cha Nyumbu kilomita 5 kutoka barabara ya Morogoro kuelekea msangani Bei 60,000,000/=