samsung galaxy tablet inauzwa!!

samsung galaxy tablet inauzwa!!

hemedi miraji

Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
46
Reaction score
10
Samsung galaxy tablet 7.0 inauzwa imetumika kwa muda mfupi, ina vi2 vyake vyote!! Check me on 0717165235, mkwizu2@yahoo.com
 
Kwanini wengi wenu mnaotoa matangazo ya biashara hampendi kuweka bei za vitu vyenu?
 
Kwanini wengi wenu mnaotoa matangazo ya biashara hampendi kuweka bei za vitu vyenu?
Nafikiri muda umefika kwa moderator kuyachinjia baharini haya matangazo butu,kwani yanajaza kurasa bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom