ubuyu wa kizanzibari for sale!

ubuyu wa kizanzibari for sale!

chilubi

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,201
Reaction score
6,268
Haya ndugu wana Jf, mwanza zile bifu za muungano tuzieke pembeni mana kuna watu wanasusia bidhaa kwasababu tu inatoka upande mmoja!! (joking :-D)

Haya serious sasa:

Kwa wale wapenzi wa ubuyu hasa hasa kina dada zetu, nauza ubuyu wa kizenjy:

Ubuyu packet 1 ni 2000tzs
Ubuyu packet 50 ni 1700/per

Proposal pia is welcomed katika pm, jamani tuwe serious!

Ni mtamu sana mashallah!
Nitaweka picha nkiwa nko pazuri
 
Haya ndugu wana Jf, mwanza zile bifu za muungano tuzieke pembeni mana kuna watu wanasusia bidhaa kwasababu tu inatoka upande mmoja!! (joking :-D)

Haya serious sasa:

Kwa wale wapenzi wa ubuyu hasa hasa kina dada zetu, nauza ubuyu wa kizenjy:

Ubuyu packet 1 ni 2000tzs
Ubuyu packet 50 ni 1700/per

Proposal pia is welcomed katika pm, jamani tuwe serious!

Ni mtamu sana mashallah!
Nitaweka picha nkiwa nko pazuri

Ha ha! Ubuyu unatoka kule kwa jamaa zake matonya(r.i.p), unapandishwa ktk boti then unawekwa rangi kisha unaitwa 'ubuyu wa kiponda'. Ngoja waje wazee wa 'trademark' wakuone
 
chilubi,naomba niulize,huu ubuyu wa zenji kwa nini ni mtamu zaidi?ni variety tofauti na zinazopatikana huku bara au zinaongezewa "mbwembwe" za kizenji?
 
Last edited by a moderator:
chilubi,naomba niulize,huu ubuyu wa zenji kwa nini ni mtamu zaidi?ni variety tofauti na zinazopatikana huku bara au zinaongezewa "mbwembwe" za kizenji?
Kama alivyosema mdau hapo juu huo ubuyu unatoka Dododma na unapelekwa na Wapemba Zenj(?) kukarabatiwa,ingawa siamini huyu jamaa ni Mzenj na yupo Dar ila anautia nakshi za kizenj huo ubuyu
 
Lolz! Ah wakuu mnanifanya nicheke, kwani tanzania tunatoa raw materials ngapi kupeleka nje na kuletewa tena nyumbani?

Afu huu ubuyu unatiwa mbwembwe za kizenjiii 😛
 
aisee huyu ubuyu ni mtamu! Sisi huwa tunaekewa kwenye boat tunamtuma messenger boat alete mfuko umejaa kuliko mia. Office building nzima watu wananunua. Wengine 5 wengine 10. Hii ni biashara nzuri sana sababu tulipofuatilia tulikuta kwa wingi ni wamama wa nyumbani wanafanya hii cottage industry na inasaidia sana katika elimu ya watoto na maendeleo ktk maisha yao. Tumuunge mkono huyu muuzaji. The last time we made an order tuliambiwa lazima tungoje wiki mbili sababu wana order nyingi sana za mainland... hata supermarket. Juzi niliziona TSN wanaziuza. Zina pilipili manga na pilipili kwa mbali, na vanilla ambayo wanapata cheap sana huko Zenji.
Let's support local industry, si lazima kila kitu kitoke nje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom