Magodoro

Magodoro

Futota

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2010
Posts
521
Reaction score
88
WanaJF
Hivi kuna sehemu Dar wanauza magodoro yale yenye spring ya mitumba (used from abroad)?
Nifahamisheni wapi.
Natanguliza shukran
 
Hata mie nayataka ,ila kuna mtu kaniambia Kiwanda cha magodoro Dodoma pale mikocheni nao wanayo ambayo ni mazuri ngoja pia niende nikaangalie kama yana kiwango
 
Hapana, mimi sihitaji haya ya Dodoma au mengineyo made in Tanzania. Nimeshayatumia na naona kuwa utalaamu wa kuweka hizo "spring" bado haujakaa sawa.
Hivyo sasa naona bora nichukue tu ya mitumba


Hata mie nayataka ,ila kuna mtu kaniambia Kiwanda cha magodoro Dodoma pale mikocheni nao wanayo ambayo ni mazuri ngoja pia niende nikaangalie kama yana kiwango
 
Back
Top Bottom