wakuu,
Nimefunga Container ambalo ndani yake kuna Jeki 100, kama kunamtu atahitaji iwe kwa jumla ama rejareja tafadhari naomba ani- PM.
Container litafika mwezi January.
Bei ni Tsh 10,000/-...
Webmaster Home anakupatia ushauri wa bure kuhusu makwazo yoyote binafsi yanayokukabili au magumu yoyote ya kimaisha na utatuzi wake pia anatoa fursa kuuliza swali lolote kuhusu maisha unaliliona...
unaitaji kutengenezewa grille za milango, madirishapamoja na madirisha ya aluminum, fens na kazi zote zinazohusu welding.
piga simu
0715 824677
0767 824677
0784824677 or 0713526346
tupo kimara mwisho
Habari zenu wana jf
ninauza simu ya samsung galaxy s 2...
iko kwenye condition nzuri na nimetumia kwa muda mchache tu
This is how the phone looks
aliyekuwa yuko tayari kwa biashara...
Toyota Land Cruiser for sale
Year- 1999
km-300,000
cc-4164
Transmission- Manual
Fuel- Diesel
Last owner- WHO Tanzania
Starting price- 39.5m
Serious buyers only just PM me
Vifaa hivi vinauzwa kimoja kimoja na vipo DAR Ilala ama Buguruni.Kumradhi kidogo sijui sehemu yenyewe maana nimekodi duka kwa muda mfupi ili kuwepo urahisi kwa wanunuzi kwenda kuviona.Na mimi...
Maeneo yote ya nje ya mji wa arusha are great, ikiwa maeneo ya arumeru its awesome pia ila isiwe tu maji ya chai. Apartment hiyo iwe na facilities kama maji na umeme, na iwe na 2 bedrooms na...
186 ACRES,farm at kigamboni kimbiji (potea) ,45km toka kivukoni (kuna mikaratusi , minazi , michungwa na miembe ya kisasa liko kwenye barabara kimbiji kwenda tundwi bei 900mil. piga...
Mabao za kilimo mbao laini za dawa na zisizo za dawa size yoyote tunasambaza maeneo nilio ya taja hapo juu.
Zanzibar,comoro,mombasa,mafia
mzigo wowote unaotaka tunasambaza kwa mawasiliano...
Poleni kwa majukumu.
Naomba kujua ikiwa kama naweza kupata habari sahihi juu ya uwepo wa charger za simu zinazotumia betri za kawaida, hususani betri ndogo, yaani charger zisizotumia umeme...
many people say have smartphones but they are not real smartphones, this is a exactly smartphone, it is like a small pc in your pocket!
come from USA, used very little and in excellent...
Wadau nina mizigo hii 2 ni mipya kabisaa samsung pocket bie yake ni 150 mwisho 130 na pia nina Sony Xperia brand new bei yake ni 550 mwisho 500! Kwa mawasiliano zaidi check me on 0656-072553 na...
Nyumba kwenye plot 23*25 bedrooms 4 master kubwa ukumbi mkubwa jiko,store dinning inauzwa Mbezi Juu jirani na Tatedo bei 40m mwenye interest ani PM naambatanisha picha