Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana Jf.Nina uza mayai ya kuku wa kienyeji.Kwa anae hitaji anipm.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Haya jamani nna iphone 3gs 32Gb, ios 5.0.1, iko katika good condition.... Nahitaji kilo 3 (laki 3)
0 Reactions
9 Replies
1K Views
ina vyumba vitatu vyote ni self contained, ipo mikocheni kwa warioba karibu na oxford library/bookstore. bei ni 1000 usd kwa mwezi. muhitaji piga 0654363028
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu habari zenu. Jamaa yangu wa karibu anauza gari lake aina ya opa. Bei 8,250,000 tsh Maelewano yapo Gari lipo dar Namba yake ya simu 0716554555. Gari imetembea kilometa 100,300
0 Reactions
0 Replies
2K Views
incubator kuanzia mayai 24 kwa 6.5l y mayai 176 8. na mayai 264 1m mpya .full automatic multi function 220v maelezo zaidi 0718656566
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Natafuta mkopo wa Laki saba na riba ntalipa laki 2, mwisho wa mwezi huu. Dhamana niliyonayo ni kadi yangu ya NSSF ambayi ina mil.1 (hata na Passport yangu kama atahitaji).alienayo anicheki kwenye...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
incubator ya mayai 24 kwa 650k incubator ya mayai 176 kwa 8k incubator ya mayai 264 kwa 1m incubator ya mayai 1024 kwa 1.2m kinu ya chakula 1.2m machine zote mpya na certificat approved 220v...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Habari wanajamii,nahitaji tablet pc ya kununua,either ipad,android based or playbook,betry iwe inaweza kuvumilia matumizi mazito,natanguliza shukurani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Galaxy note inauzwa-750,000 used 2months good condition +255 756 412 337
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Shamba la hekari 16 linauzwa lipo wilaya ya Tameke Dar es Salaam Amani gomvu ni mwendo wa 32km toka feri ya magogoni shamba lipo tambalale gari linafika mpaka shambani umeme upo umbali wa 1.km...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari wadau kuna rafiki yangu anahitaji gari aina ya TOYOTA CORONA T I!!mwenye nayo tuwasiliane lakini atoe sifa za hiyo gari pamoja na GHARAMA halisi............negotiable
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ninaweza kupata wapi plow used oliyo kwenye hali nzuri kutoka UK au US? Hii ni kwa ajili ya massey ferguson hp 70.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HTC Wildfire kwa 190,000/- kama unataka nitafute kwa 0713218388. Haina tatizo lolote
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye nayo ani PM tafadhali, nimeharibikiwa na Kitendea kazi na ndicho kinachonifanya niishi mjini............. Hp Compaq Presario CQ70
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya vitabu vya aina mbalimbali, calculators, na batteries za simu na camera, chargers, power supply ambavyo huwezi kuvipata hapo Tanzania kirahisi, ebu tuagize sisi tukufatulie kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SALE***SALE***SALE Perfumes from the UK. FOR HER E.Arden , Arden Beauty EDP 100mls Price 100,000 Tshs E.Arden 5th Avenue Style EDT 125mls Price 100,000 Tshs Hugo Boss, Boss Orange EDT 75mls Price...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Nauza Shamba Lenye ukubwa wa hekari 20 kwa shilingi Milioni Mbili Na Laki Mbili tu (2,200,000/=). Shamba Lipo KINONKO. Limeshasafishwa mara moja, kwahiyo sio msitu lakini Halijawahi kulimwa (kwa...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Wakuu naitaji desktop P4 used ya hp au Dell mwenye nayo anpm or amwage bei zake hapa
0 Reactions
1 Replies
879 Views
Budget yangu ni 20million mwenye nacho anipigie no. 0715 29 27 31 Kiwe na hati
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Make: Nissan Model: Nissan (Primera) Body type: Closed Top Colour: Blue Year: 1998 Engine Capacity: 1998 Fuel: Petrol Milage: 99148km Option AC/Air Bag/ Power Steering/ABS/Power Window/Stereo...
0 Reactions
1 Replies
823 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…