Natural Skin Solution yenye makao yake Kibaha Tanzania, tunapenda kutangazia wahitimu wa Clinical Officer au wanafunzi wa fani ya Clinical medicine ,tuna nafasi moja tu ya field au volunteer...
Samsung A13 dark blue color
Ni 64 GB, ram 4 gb.
Simu haina tatizo lolote, screen ipo safi.
Simu ipo Dar
Imetumika miezi 11.
Unapewa charger, box, risiti.
Muuzaji ana shida ya haraka kugharamia...
BMW 3 Series 2005 Engine 1900cc Inauzwa Million 12.5. Ipo kwenye hali nzuri kabisa na haina error yeyote kwenye dashboard. Inauzwa kwa sababu ningependa kununua gari kama hii ya miaka ya karibuni...
Kwa wale walaamu na wenyewe uzoefu wa hizi kazi za kudesign package za kupakia unga nk..’
Nataka mtu ambae anaweza kunidizainia package ya unga wa lishe yenye muonekano mzuri.
Nitumi sample DM...
TANGAZO TANGAZO KWA WALIMU WANAOHITAJI KUJIENDELEZA.
KAMPASI YA ADEM MBEYA IMEANZA KUTOA MAFUNZO YA 1. DIPLOMA YA UONGOZI WA ELIMU (DEMA/DELMA)
2. DIPLOMA YA UTHIBITI UBORA WA SHULE (DSQA) KWA...
Jipatie Magic pen ambazo zinauwezo wa kuandika na kufuta iwe kwenye kaaratasi ya kawaida, karatasi ngumu (bodi paper) , inafuta pale ambapo umekosea ni bora na za kisasa zinapatikana Kitunda - Dar...
Wana JF nauza hivo Vifaa;
-Kabati kubwa ngazi tatu
-Jiko la Motor linalotumia chenga za mkaa
-Jiko la mkaa la kuchomea viaz la kawaida
-Jiko la mishikaki
-Meza ya kuweka Kabati
-Makalai mawili ya...
Habari wakuu, kwa wale ambao ni wapenzi wa simu za kizamani ( Old School ) za button na za touch, ninauza Spare za hizo Simu, kuanzia mikanda, Speakers, mic, slot za SIM card, na vioo.
Models...
Karibu nikuunge na WiFi ya hapa dukani kwangu yenye speed ya 30Mbps/s ushushe files utakazo kwa gharama nafuu. Napatikana Ilala, shauri moyo.
Gharama ni Tsh elfu 5 kwa GB 10 kwa kutumia computer...
Subaru xt
CC 1990
Full ac
Full doc
Gari inaviwango vyote, gari haihnunuliwa mkononi gari imeagizwa kutoka japan, colour blue, usajili namba DN, imekaza sana.
Inataka mil 16.5
Location, picha...
Moka Pot Espresso Coffee Maker. 3Cups. 65,000/=.
Electric single hot plate 40,000/=
Mkoani(Nje ya Dar) utachangia usafiri
Tshs 10,000/= tu.
0715 240 140.
Nisiwachoshe husika na kichwa habari hapo juu,
Naitoa hii gari bila kuwepo kwa dalali wala mtu mwingine wa kati na biashara nataka iwe ya uwazi kwa kila member kuweza kuchangia na kutoa ushauri...