Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

IMPORTANT NOTE : Hakuna dalali! Eneo liko baada tu ya roundabout ya kuingia Bagamoyo (kituo cha daladala cha Kosovo) na ni hapo hapo barabarani. Eneo lina ukubwa wa 120 * 93 (m), kuna nyumba ya...
3 Reactions
5 Replies
807 Views
.
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Natafuta order za kusafirisha mizigo mkoani na semi trela 0622925955
0 Reactions
5 Replies
776 Views
habari wana jf . nauza kiwanja changu kinachopatikana mbezi mji mpya karibu na stendi ya magufuli terminal. kiwanja kina ukubwa wa futi 60x50 average sio square. Bei ni 15,000,000 maongezi yapo...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Nauza Shamba hekari mia moja(100) lipo Mkoa wa Singida Wilaya ya MANYONI. Shamba lipo Kilometa Saba(7) kutoka Manyoni Mjini ni mwendo wa barabara ya lami na pia Shamba kutoka lami kuingia shamba...
6 Reactions
11 Replies
2K Views
MODEL: Boxer MODEL NUMBER: BM 125 LOCATION: Tegeta, DSM Iko vizuri kabisa na ENGINE haijawahi kuguswa Ina registration card BEI: 1,100,000/= maongezi yapo NICHEKI PM KWA MAWASILIANO ZAIDI
1 Reactions
2 Replies
745 Views
MITAMBO YA BIOGAS Karibuni , Tuwajengee mtambo wa Biogas kulingana na Mahitaji yako, iwe nyumbani, mashule, Bar, . Mitambo hii inatumia vinyesi vya wanyama, Kama ,ng'ombe, kuku,kondoo na wanyama...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakuu habari? Vibaka wameniotea bwana wakaamua kuniachia box lake tu, sasa nimezunguka kuitafuta nmekosa. Kama kuna duka kwa DSM hapa nielekezeni ase.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kiwanja kina ukubwa wa 1000 sqm Bei 75ml Kiwanja kimepimwa na kina hati, maeneo mazuri na majirani pia wako vizr Maelezo zaidi 0756060183
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nyumba ni ya pili kutoka lami na ina vyumba 4 vyote ni self. Ukubwa wa Eneo ni 4200 sqm Nyumba ipo kwenye Eneo kubwa na kama inavyoonekana kwenye picha kuna shamba pia. Hati ipo. Bei 370m...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Tunatengeneza Mabango Ya Designs zote Mfano Banner 3D 2D n.k Mfano wake upo Chini, tunapatikana Sinza Mori Karibuni sana size na bei ni tofauti kulingana na ukubwa wa bango unalohitaji. Kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Ukubwa wa kiwanja: 650 Sqm. Eneo: Goba Kulangwa, barabara mpya ya lami ya Kuelekea Madale. Bei: Tshs 25,000,000 (Milioni 25) Kina hati ya wizara. Contact : 0742141467
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Huduma zetu TUNATENGENEZA MABANGO YA AINA ZOTE - Signages - Mabango ya 3D - Mabango ya Taa (Box Lights) - Mabango yakawaida Tunaprint: T-shirts, Business cards, Sticker za aina zote Vinly...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Je, wewe ni mmiliki wa kampuni ya kibiashara ndogo na ya kati? Je, katika Biashara yako unatumia teknolojia mbalimbali au unahitaji kutumia teknolojia mbalimbali?Kama Jibu ni ndio basi wasiliana...
0 Reactions
2 Replies
713 Views
Hello there ! Niko Mbeya, katika Uzi huu ntakuwa naweka bei za vyakula Mbalimbali kutoka Mbeya, kama mtu unataka utawasiliana Na Mimi,makubaliano yatakuwa hivi, mi nitaweza kukuagizia Kuanzia...
6 Reactions
40 Replies
6K Views
SHAMBA LINAUZWA [emoji3534] Ekari ~5 Shamba Lipo Lulembela ~bugalagala Mita 500 kutoka bara bara kuu [emoji778]Linafaa kwa kilimo cha bustan (nyanya,tikiti n.k) [emoji3534] price 4,000,000/=...
1 Reactions
4 Replies
741 Views
Wakuu salama kama kichwa kinaojieleza hapo juu tunatoa huduma ya kusafisha masink yalyofubaa kwa wakazi wa jiji la dar es salaam tunakuja popote ulipo ndani ya jiji hili. Gharama ni 10k kwa vyoo...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wana JF Natafuta kiwanja eneo la Goba Dar Es Salaam chenye ukubwa wa medium au low density, pia kisiwe kwenye mwinuko mkali. Mwenye kuwa nacho anipm pamoja na bei anayokiuza. Natanguliza...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom