nauza kiwanja bei chee!!

nauza kiwanja bei chee!!

ChescoMatunda

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2009
Posts
1,232
Reaction score
444
kipo maeneyo ya ponde karibu na barabara ya rami kutoka kigamboni feri ni km 20 kwa gari ukifika ponde kilipo ni ni mita 150 tuu toka barabara ya rami ki upana wa 67kwa 55 kasikazini kusini 70 kwa 61 mashariki magharibi..kwa anayehitaji haraka tuwasiliane kwa namba yangu au email yangu..


Price: TZS 10,000,000

Phone: 0786-555030 and 0765-555030

Email:jescolucas@gmail.com
 
Iko wapi na bei gani. Vipi imekaaje na miundo mbinu
 
Iko wapi na bei gani. Vipi imekaaje na miundo mbinu
Nina kiwanja eka moja kigamboni sh mil 15 ni km 18 kutoka ferry njia ya kwenda kongowe na 3 km from main road. Ume
me hamna barabara hadi shambani kwa gari 0712769766 kwa mawasiliano
 
Nina kiwanja eka moja kigamboni sh mil 15 ni km 18 kutoka ferry njia ya kwenda kongowe na 3 km from main road. Ume
me hamna barabara hadi shambani kwa gari 0712769766 kwa mawasiliano
Mkuu mbona unahalibu biashara ya mwenzako,ni vema na wewe ungeanzisha thread yako kutangaza hicho kiwanja chako!
 
Balabala ra rami ripi ra kwenda kongowe..!!?
 
Nina kiwanja eka moja kigamboni sh mil 15 ni km 18 kutoka ferry njia ya kwenda kongowe na 3 km from main road. Ume
me hamna barabara hadi shambani kwa gari 0712769766 kwa mawasiliano

Huko si tayari mkulukulu ameshapapiga bei?!
 
Back
Top Bottom