Habari wanajamvi,
jamani ninaombeni ushauri nataka kufungua duka la bidhaa reja reja hapa Dsm. Tatizo sina idea na hiyo biashara najua hapa kuna wataalamu. kwa mtaji wa sh. mil 2.5 je naweza na kuna wanao supply bidhaa natamani sana iwe mbezi ya kimara nawasilisha wadau
jamani ninaombeni ushauri nataka kufungua duka la bidhaa reja reja hapa Dsm. Tatizo sina idea na hiyo biashara najua hapa kuna wataalamu. kwa mtaji wa sh. mil 2.5 je naweza na kuna wanao supply bidhaa natamani sana iwe mbezi ya kimara nawasilisha wadau