Blackberry kuanzia #9700 na kuendelea inahitajika

Blackberry kuanzia #9700 na kuendelea inahitajika

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,290
Reaction score
5,767
Wadau mimi naishi arusha na nahitaji simu tajwa hapo juu au simu yenye uwezo wa kufungua pdf na skype na iliyoke efficient kwenye internet. Nina shs 200,000 cash.tuma text kwa 0713704914 au ni pm.
 
Hehehehe we kweli mpare
Mine new 9780 goes for 3.5
Nipo arusha ila naelekea tanga mara moja kula sikukuu,,ukijichanga nicheki,,
 
Una hakika sio ya kichina. Za kichina huwa zina stuck katikati ya operation na features nyingine huwa hazifanyi kazi. Kama ni orginal tunaweza kuongea ( ni ya nchi gani?)
 
Hahahahaha
Sio ya kichina mkuu
Well narudi tar30ntakutafuta
 
nina sonny experia u20i operating system ni Android........bei 150,000
kama unataka
0714812375
 
Wapendwa nashukuru kwa nia njema ya kutaka kunisaidia. Mimi sizifaham sana simu, mimi nahitaji iliyoko fast kwenye internet na inayo weza kudownload skype na kuitumiakwa kuchat pamoja nakufungua pdf na excel sheet. Wasi wasi wangu ni kuwa simu mlizonitajia hapo zitafanya hizo kazi? Asante
 
Nauza Bold 9780 bei 250000/
Contact me 0717383838

Nipo Dar
 
Back
Top Bottom