Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya sinza, kijitonyama ikibdi mbezi beach,
Sifa ya chumba:
kiwe kizuri na rangi nzuri.
kuwe na fence kwani nina pikipk hivyo kuwe na usalama wa kuilaza kma fence hakuna.
Bei yangu:
Ninaweza lipa kuanzia laki moja mpka laki moja na nusu.
Ni PM nkupe namba yangu kama unacho chumba tafadhali
Sifa ya chumba:
kiwe kizuri na rangi nzuri.
kuwe na fence kwani nina pikipk hivyo kuwe na usalama wa kuilaza kma fence hakuna.
Bei yangu:
Ninaweza lipa kuanzia laki moja mpka laki moja na nusu.
Ni PM nkupe namba yangu kama unacho chumba tafadhali