Leo nilikuwa k/koo maduka ya cm nkakuta vijana wata3 wanunua cm iphone nyingi wanaweka kwenye mikoba yao na kila moja walikuwa wanaiwekea lebo walipoondoka nikamuuliza yule mwenye duka mbona hawa jamaa walikuwa wanaweka lebo za nini? Akajibu hizo iphone ni za kichina i mean ni feki so wanakwenda kitaa kuwapiga watu wakiwadanganyia lebo eti hzo ni orginal mpoo wakuu muwe makini na makanjanja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.