Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,137
- 364
Ina vyumba vitatu vya kulala kimojawapo kikiwa self contained. Ina jiko, sehemu ya kulia chakula na subure. Imekamilika. Mbele yake kuna msingi wa nyumba nyingine. Kiwanja kina hati miliki. Bei ya hii nyumba ni shilingi 250mil. Ukiwa unahitaji kuiona piga simu 0717114409 kuweka Appointment.