wadau habari zenu
matatizo ya umeme yamenifika shingoni.
naomba msaada wa mawazo kabla sijanunua inverter
ningependa kujua yafuatayo
1. ni aina gani ya inveter ni imara na ina ufanisi mkubwa...
Heshima mbele wakubwa. Nilikuwa na kakazi kadogo ka ujenzi hivyo ilinibidi kununua baadhi ya vitu ikiwemo mbao na milunda baada ya kumaliza kazi nimegundua kuwa sitakuwa na nafasi ya kuvitumia...
Mimi ni mkaka wa miaka 34, naishi nje ya nchi ila narudi Tanzania baada ya muda mfupi ujao. Natafuta chumba kimoja kwa muda wa siku 12 hadi 13 nitakapokuwa Tanzania. Kuna baadhi ya watu wenye...
Htc window phone 7.5 iko ktk hali nzuri...ina uwezo mkubwa sana...unaweza check specification ktk net....bei ni laki 4 maelewano yapo...contact zangu ni 0764731318
Wadau ni wapi tapata simu za kichina soft touch na blackberry kwa bei ya jumla kwa hapa dar, ambae anajua tuwasliane bei iwe kuanzia elfu 35, tachukua za milion 1. Mawasiliano ni 0766988326 au...
WanaJF, Nahitaji nyumba ya kununua Mbeya mjini kwa mtu yeyote anayefahamu nyumba inayouzwa Mbeya tuwasiliane through PM.Iwe nyumba walau yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule n.k
Ni nyumba ya uani. Ina vyumba vinne. Viwili chini viwili juu. Vya juu ni self-contained. Vyumba vyote haviingiliani. Vimemaliziwa vizuri kwa tiles, sliding windows, juu kuna eneo la wazi ambalo...
Kiwanja chenye ukubwa wa robo eka kilichojengwa nyumba ya vyumba viwili na sebule kinauzwa Chanika, kiko karibu na kituo cha Chanika mwisho yanapoanzia na kuishia mabasi yaendayo mjini, unaweza...