need advice on inverter

need advice on inverter

next

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2007
Posts
604
Reaction score
185
wadau habari zenu
matatizo ya umeme yamenifika shingoni.
naomba msaada wa mawazo kabla sijanunua inverter
ningependa kujua yafuatayo
1. ni aina gani ya inveter ni imara na ina ufanisi mkubwa
2. dadi na ukubwa wa betri.

nataka niwe na uwezo wa kuwasha taa sita, fridge moja ya 300 litres,
fani mbili na tv moja.
for at least six hrs
natanguliza shukrani zangu
 
of course ningependa pia kujua naweza kupata wapi kwa hapa dar es salaaam na price estimate
 
Back
Top Bottom