CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 157
Natafuta taa za solar za kusomea.
Nitapata wapi hapa Dar? Naomba location na contacts za wauzaji kama inawezekana. Nahitaji nizipate kesho.
Maana hawa watoto wetu wanafeli vibaya mno, wengine wanasingizia hawana taa za kusomea huko vijijini.
Sasa nimewanunulia vitabu vya watunzi wote hapa Tz (kina Nyambari Nyangwine n.k), wasome tuition n.k - sasa wanasingizia hawana taa za kusomea. Nataka nitoe lawama!
Nitapata wapi hapa Dar? Naomba location na contacts za wauzaji kama inawezekana. Nahitaji nizipate kesho.
Maana hawa watoto wetu wanafeli vibaya mno, wengine wanasingizia hawana taa za kusomea huko vijijini.
Sasa nimewanunulia vitabu vya watunzi wote hapa Tz (kina Nyambari Nyangwine n.k), wasome tuition n.k - sasa wanasingizia hawana taa za kusomea. Nataka nitoe lawama!