Hello guys!!
Naomba msaada wa kuelezwa wapi nitapata vifaa vya baby vyote under the same roof kwa hapa Dar es Salaam. Kuanzia swings, strollers.... Toys za maana... Please. And at a good price too. Asanteni.
Nenda Mlimani City, kuna duka linaitwa Baby Shop, linatazamana na mlango wa kuingia Game Store.
Pia Kariakoo ule mtaa baada ya kituo cha Polisi Msimbazi. Jina la mtaa limenitoka. Lakini ni ule mtaa ulio kati ya kituo hicho cha polisi na kituo cha mafuta. Kwenye mtaa huo, kuna maduka ya vitu vya watoto mengi sana. Mwisho wa mtaa kuna duka linaitwa Singha, nalo lina vitu vya watoto.
Kila la heri.
apart from baby shop ya mlimani city; kuna nyingine ipo pale kwenye grounds zenye nyumbani lounge kwa jaydee. unaingilia hapo best bite, ukipita virago tu mbele kiduchu. game store pia kuna baby stuff nyingi pia games pia.
usinunue laptop ntaleta mie.