Haya jaman nimechoka kumaliza mafuta ya tz11, mwenye hyo gari model yke isiwe chini ya 2004 nataman ningepata blue, kijivu hata white, bt bei nina 6m.. Iwe kwenye good and appreciable condition...
Kiwanja kina ekari moja kipo njia panda Moshi kando kando ( 30metres) ya barabara kuu kutoka Dar es Salaam/Arusha. Umeme na maji ya bomba vipo ni sehemu nzuri ya biashara kati ya miji midogo ya...
HELLOW
GARI AINA YA DAIHATSU MIRA ,MODEL YA MWAKA 2003, CC 1300 ECONOMIC,
AUTOMATIC TRANSMISSION,RIGHT HAND DRIVE.IN EXELLENT CONDITION.
KWA MAELEZO NA KUPATA PICTURE ZAKE HALISI,
INGIA FACEBOOK...
Ndugu zangu,
Ninatafuta mkopo benki kwa riba reasonable. mimi ni mwajiriwa, ofisi yetu ni ya kimataifa, ina ofisi nchi 8, ila kwa tawi letu hapa Tanzania, tupo staff 4 tu. Mkataba wangu ni...
nauza microphone ya studio
ni Condenser type BEHRINGER B1 ipo in a Very Good Condition, very good for a proffesional recording Nakupatia na Stand yake
if interested check me kwa
0714 021 078
One storey house, with 3 self contained rooms is available for lease at Usa River (Leganga) in Arusha. The house is ideal for Office or Residential.
The house has got a specious car park of 4...
Office space available in the city centre:
SIZE: 24 square metres and 36 square metres
RENT: USD 12 per square metre per month, exclusive of VAT
SERVICE: Free electricity and Water, parking and...
Habari wana jamvi.
Naomba msaada wenu kwa yeyote anaefahamu wapi kwa hapa Dar es salaam naweza kupata kampuni inayokodisha haya magari kwa ajili ya shughuli zake.Hizi gari ni tani mbili mbili.Bei...
Mtanisamehe, nimepiga picha kamera yangu imedondoka kwa maji, picha zote damaged! Ila nyumba ni vyumba vitatu, kimoja self contained, sebule, dinning, jiko na servant quarter! Iko mitaa ya nyuma...