Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

natafuta keyboard ya laptop dell n5050
0 Reactions
1 Replies
907 Views
Haya jaman nimechoka kumaliza mafuta ya tz11, mwenye hyo gari model yke isiwe chini ya 2004 nataman ningepata blue, kijivu hata white, bt bei nina 6m.. Iwe kwenye good and appreciable condition...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sofa zinauzwa. Jamaa anahama kikaz. Bei 750,000/-zote kama zilivyo. 0713401812. Ni ngoz tupu. Bado mpya kabsa.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Att: Natafuta projector used, iwe na hali nzuri, vifaa vyote i mean accessory zote ziwepo, niko mkoani nauli ya kusafirishia ni juu yangu! PM
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wajamaa baada ya kupata blackberry sasa natafuta desk cmpty aina ya dell used isiyotumika kwa sana!
0 Reactions
0 Replies
709 Views
Kiwanja kina ekari moja kipo njia panda Moshi kando kando ( 30metres) ya barabara kuu kutoka Dar es Salaam/Arusha. Umeme na maji ya bomba vipo ni sehemu nzuri ya biashara kati ya miji midogo ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
HELLOW GARI AINA YA DAIHATSU MIRA ,MODEL YA MWAKA 2003, CC 1300 ECONOMIC, AUTOMATIC TRANSMISSION,RIGHT HAND DRIVE.IN EXELLENT CONDITION. KWA MAELEZO NA KUPATA PICTURE ZAKE HALISI, INGIA FACEBOOK...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mbezi beach, tegeta, mwenge, survey na kijitonyama. kwa yeyote aliye na nyumba maeneo hayo ni pm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari.. kwa yeyote alienayo anipm ila iwe kwenye hali nzuri na ikiwa black itakua poa sn japokua ht nyeupe z ok. weka na bei.
0 Reactions
1 Replies
863 Views
Natafuta receiver moja kati ya hizi, used au mpya! 1. Strong SRT 4930 High Definition (HDTV) au 2. Openbox S11HD PVR MPEG4. Napatikana Mwanza,
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa anayeitaji tablet. Ipo ya zte picha baadaye. Bei yake 600,000/-
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau mwenye smartphone USED kwa bei hiyo....naomba ucomment hapa na nintaPM ntakayelizika na ofa yake
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kuna ndugu yangu mmoja amehamia huku moshi sasa anatafuta chumba maeneo ya moshi mjini au longuo, anaeweza kusaidia katika hili naomba unopm please
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Ninatafuta mkopo benki kwa riba reasonable. mimi ni mwajiriwa, ofisi yetu ni ya kimataifa, ina ofisi nchi 8, ila kwa tawi letu hapa Tanzania, tupo staff 4 tu. Mkataba wangu ni...
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Natafuta kiwanja ''low densinty'' wilayani kasulu,kigoma kiwe kimepimwa mwenye nacho au uelewa wowote tuwasiliane kupitia hapa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nauza microphone ya studio ni Condenser type BEHRINGER B1 ipo in a Very Good Condition, very good for a proffesional recording Nakupatia na Stand yake if interested check me kwa 0714 021 078
0 Reactions
0 Replies
2K Views
One storey house, with 3 self contained rooms is available for lease at Usa River (Leganga) in Arusha. The house is ideal for Office or Residential. The house has got a specious car park of 4...
0 Reactions
2 Replies
916 Views
Office space available in the city centre: SIZE: 24 square metres and 36 square metres RENT: USD 12 per square metre per month, exclusive of VAT SERVICE: Free electricity and Water, parking and...
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Habari wana jamvi. Naomba msaada wenu kwa yeyote anaefahamu wapi kwa hapa Dar es salaam naweza kupata kampuni inayokodisha haya magari kwa ajili ya shughuli zake.Hizi gari ni tani mbili mbili.Bei...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Mtanisamehe, nimepiga picha kamera yangu imedondoka kwa maji, picha zote damaged! Ila nyumba ni vyumba vitatu, kimoja self contained, sebule, dinning, jiko na servant quarter! Iko mitaa ya nyuma...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…