Kiwanja kina ekari moja kipo njia panda Moshi kando kando ( 30metres) ya barabara kuu kutoka Dar es Salaam/Arusha. Umeme na maji ya bomba vipo ni sehemu nzuri ya biashara kati ya miji midogo ya Himo, Holili, Njia panda, na Chekereni.kiwanja kimekwishapimwa na kinafaa kwa ujenzi wa petrol station, hospitali, shule, makazi n..k. mfanyabiashara wahi mapema ukanufaike na biashara na soko kuu la kimataifa litakalojengwa katika ukanda huo. BEI TSH 15M..
MAWASILIANO.
TUMA PRIVATE MESSAGE(PM) AU
0754466824.
MAWASILIANO.
TUMA PRIVATE MESSAGE(PM) AU
0754466824.