Habari wana jamvi.
Naomba msaada wenu kwa yeyote anaefahamu wapi kwa hapa Dar es salaam naweza kupata kampuni inayokodisha haya magari kwa ajili ya shughuli zake.Hizi gari ni tani mbili mbili.Bei ni makubaliano.Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.